Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 3:16 - Swahili Revised Union Version

Akasema, BWANA asema hivi, Fanyeni bonde hili lijae mahandaki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akasema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Chimbeni mashimo kila mahali kote bondeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akasema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Chimbeni mashimo kila mahali kote bondeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akasema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Chimbeni mashimo kila mahali kote bondeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye akasema, “Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, ‘Chimbeni bonde hili lijae mahandaki.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye akasema, “Hivi ndivyo asemavyo bwana, ‘Chimbeni bonde hili lijae mahandaki.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, BWANA asema hivi, Fanyeni bonde hili lijae mahandaki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 3:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ila sasa niletee mpiga kinanda. Ikawa, mpiga kinanda alipokipiga, mkono wa BWANA ukamjia juu yake.


Kwa kuwa BWANA asema hivi, Hamutauona upepo, wala hamtaiona mvua, ila bonde hilo litajaa maji; nanyi mtakunywa, ninyi, na ng'ombe zenu, na wanyama wenu.


Akasema, Nenda, ukaazime vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usiazime vichache.