Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 1:1 - Swahili Revised Union Version

Ikawa, baada ya kufa kwake Ahabu, Moabu wakawaasi Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kifo cha Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kifo cha Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kifo cha Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, baada ya kufa kwake Ahabu, Moabu wakawaasi Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 1:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akapiga Moabu, akawapima kwa kamba wakiwa wamelazwa chini; akapima kamba mbili za kuuawa, na kamba moja nzima ya kuhifadhi hai. Wamoabi wakawa watumishi wa Daudi, wakaleta zawadi.


Daudi akaweka ngome katika Shamu ya Dameski, na hao Washami wakawa watumishi wa Daudi, wakaleta zawadi. Naye BWANA akampa Daudi kushinda kila alikokwenda.


Zamani zake, Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda, wakajifanyia mfalme.


Hivyo Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda hata leo. Na Libna wakaasi zamani zizo hizo.


Akapiga Moabu; na hao Wamoabi wakawa watumishi wa Daudi wakaleta zawadi.


Moabu ni bakuli langu la kunawia. Nitamtupia Edomu kiatu changu, Na kumpigia Filisti kelele za vita.


Maji yatatiririka kutoka ndoo zake, Na mbegu zake zitakuwa katika maji mengi. Na mfalme wake ataadhimishwa kuliko Agagi, Na ufalme wake utatukuzwa.