Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 4:9 - Swahili Revised Union Version

Jitahidi uwezavyo kuja kwangu upesi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jitahidi kuja kwangu upesi

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jitahidi kuja kwangu upesi

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jitahidi uwezavyo kuja kwangu upesi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 4:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, unapofuatana na mshitaki wako kwenda kwa mwamuzi, hapo njiani fanya bidii kupatanishwa naye, asije akakuburuta mpaka mbele ya hakimu; yule hakimu akakutia mikononi mwake mwenye kulipiza, na yule mwenye kulipiza akakutupa gerezani.


Nikiyakumbuka machozi yako, natamani sana kukuona, ili nijawe na furaha;


Jitahidi uwezavyo kuja kabla ya majira ya baridi. Eubulo akusalimu, na Pude, na Lino, na Klaudia, na ndugu wote pia.


Wakati nitakapomtuma Artema kwako au Tikiko, jitahidi uwezavyo kujiunga nami katika Nikopoli; kwa kuwa nimekusudia kukaa huku wakati wa baridi.