Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 4:9 - Swahili Revised Union Version

9 Jitahidi uwezavyo kuja kwangu upesi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Fanya bidii kuja kwangu karibuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Jitahidi kuja kwangu upesi

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Jitahidi kuja kwangu upesi

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Jitahidi uwezavyo kuja kwangu upesi.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, unapofuatana na mshitaki wako kwenda kwa mwamuzi, hapo njiani fanya bidii kupatanishwa naye, asije akakuburuta mpaka mbele ya hakimu; yule hakimu akakutia mikononi mwake mwenye kulipiza, na yule mwenye kulipiza akakutupa gerezani.


Nikiyakumbuka machozi yako, natamani sana kukuona, ili nijawe na furaha;


Jitahidi uwezavyo kuja kabla ya majira ya baridi. Eubulo akusalimu, na Pude, na Lino, na Klaudia, na ndugu wote pia.


Wakati nitakapomtuma Artema kwako au Tikiko, jitahidi uwezavyo kujiunga nami katika Nikopoli; kwa kuwa nimekusudia kukaa huku wakati wa baridi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo