Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 7:17 - Swahili Revised Union Version

Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 7:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitaimarishwa milele.


Ndipo Daudi, mfalme, akaingia, akaketi mbele za BWANA, akasema, Mimi ni nani, Bwana MUNGU, na nyumba yangu ni nini, hata umenileta hadi hapa?


mfalme akamwambia Nathani, nabii, Angalia sasa, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi, bali sanduku la Mungu linakaa ndani ya mapazia.


Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.


ya kuwa sikujiepusha katika kuwatangazia neno lolote liwezalo kuwafaa bali niliwafundisha waziwazi, na nyumba kwa nyumba,


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo Maandiko;