Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 5:14 - Swahili Revised Union Version

Na haya ndiyo majina ya hao waliozaliwa kwake huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yafuatayo ndiyo majina ya watoto wa kiume, wake zake waliomzalia huko Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yafuatayo ndiyo majina ya watoto wa kiume, wake zake waliomzalia huko Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yafuatayo ndiyo majina ya watoto wa kiume, wake zake waliomzalia huko Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Sulemani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Sulemani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na haya ndiyo majina ya hao waliozaliwa kwake huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 5:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Ibhari, na Elishua; na Nefegi, na Yafia;


na Azaria mwana wa Nathani alikuwa afisa mkuu tawala; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki yake mfalme.


Na haya ndiyo majina ya watoto aliozaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani;


Nayo nchi itaomboleza, kila jamaa peke yake; jamaa ya nyumba ya Daudi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Nathani peke yao, na wake zao peke yao;


Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;


Uliouweka tayari machoni pa watu wote;