Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 23:31 - Swahili Revised Union Version

na Abieli, Mwarbathi, na Azmawethi, Mbarhumi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Abi-Alboni Mwaribathi; Azmawethi Mbarhumi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Abi-Alboni, Mwaribathi; Azmawethi, Mbarhumi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Abieli, Mwarbathi, na Azmawethi, Mbarhumi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 23:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme Daudi alipofika Bahurimu, tazama, kulitoka huko mtu wa jamaa ya nyumba ya Sauli, jina lake akiitwa Shimei, mwana wa Gera; alitoka, akalaani alipokuwa akienda.


Huyo mumewe akafuatana naye, huku akilia, akamfuata mpaka Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia, Haya, rudi. Naye akarudi.


Mkubwa wao alikuwa Ahiezeri, kisha Yoashi, wana wa Shemaa Mgibeathi; na Yezieli, na Peleti, wana wa Azmawethi; na Beraka, na Yehu Mwanathothi;


Na juu ya hazina za mfalme alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli; na juu ya hazina za mashambani, za mijini, na vijijini, na ngomeni, alikuwa Yonathani mwana wa Uzia;


na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;