Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:35 - Swahili Revised Union Version

Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu inaupanda upinde wa shaba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hunifunza kupigana vita, mikono yangu iweze kuvuta upinde wa shaba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hunifunza kupigana vita, mikono yangu iweze kuvuta upinde wa shaba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hunifunza kupigana vita, mikono yangu iweze kuvuta upinde wa shaba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu inaupinda upinde wa shaba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ataikimbia silaha ya chuma, Na uta wa shaba utamchoma.


Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Aifundishaye mikono yangu vita, Na vidole vyangu kupigana.


Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.


nami nitaupiga upinde wako, utoke katika mkono wako wa kushoto, na mishale yako nitaiangusha, itoke katika mkono wako wa kulia.


Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.