Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:17 - Swahili Revised Union Version

Alipeleka kutoka juu, akanishika; Akanitoa katika maji mengi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alipeleka kutoka juu, akanishika; Akanitoa katika maji mengi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia; Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi.


Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


Uinyoshe mikono yako toka juu, uniponye, Unitoe katika maji mengi, kutoka kwa mkono wa wageni,


Alinishukia kutoka juu, akanichukua, Na kunitoa katika maji mengi.


Kwa hiyo, hebu kila akuaminiye Akuombe awapo katika dhiki. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye.


Mtoto akakua, naye akamleta kwa binti Farao, akawa mwanawe. Akamwita jina lake Musa.


Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Maji mengi yalipita juu ya kichwa changu, Nikasema, Nimekatiliwa mbali.


Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.