Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 21:11 - Swahili Revised Union Version

Kisha Daudi akaambiwa hayo aliyoyafanya huyo Rispa binti Aya, suria wa Sauli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Daudi akaambiwa hayo aliyoyafanya huyo Rispa binti Aya, suria wa Sauli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 21:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi watu wa Yuda wakaenda, wakamtia Daudi mafuta huko, awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi wakasema, Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.


Naye Rispa, binti Aya, akatwaa nguo ya magunia akajitandikia mwambani, tangu mwanzo wa mavuno hadi waliponyeshewa mvua toka mbinguni; wala hakuacha ndege wa angani kukaa juu yao mchana, wala wanyama wa mwitu usiku.


Akaenda Daudi, akaitwaa mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe mikononi mwa watu wa Yabesh-gileadi; waliyoiiba katika njia ya Beth-sheani, hapo Wafilisti walipowatungika, katika siku hiyo waliyomwua Sauli huko Gilboa;