Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 20:25 - Swahili Revised Union Version

na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 20:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, Sadoki naye akaja, na Walawi wote pamoja naye, huku wakilichukua sanduku la Agano la Mungu; kisha wakalitua hilo sanduku la Mungu; Abiathari naye akapanda juu, hadi watu wote walipokwisha kuutoka mji.


Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.


na Sadoki, mwana wa Ahitubu, na Ahimeleki, mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; na Shausha mwandishi;


Akashauriana na Yoabu, mwana wa Seruya, na Abiathari, kuhani; nao wakamsaidia Adonia, wakamfuata.


Ila Sadoki, kuhani, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Nathani, nabii, na Shimei, na Rei, na mashujaa wa Daudi, hao hawakuwa pamoja na Adonia.


na Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa jemadari wa jeshi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;


Na Sadoki mwana wa Ahitubu, na Ahimeleki mwana wa Abiathari, walikuwa makuhani; na Shausha mwandishi;