Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 20:26 - Swahili Revised Union Version

26 Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 na Ira Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 20:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akampandisha katika gari lake la pili alilokuwa nalo. Na watu wakapiga kelele mbele yake, Pigeni magoti. Hivyo akamweka juu ya nchi yote ya Misri.


Farao akamwita Yusufu, Safenath-panea; akamwoza Asenathi, binti Potifera, kuhani wa Oni, kuwa mkewe. Na Yusufu akaenda huku na huko katika nchi yote ya Misri.


na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.


Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa BWANA. BWANA akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.


na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;


na Benaya, mwana wa Yehoyada, alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi wakawa makuhani.


na Azaria mwana wa Nathani alikuwa afisa mkuu tawala; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki yake mfalme.


Ira Mwithri, Garebu Mwithri;


Nao waimbaji, wana wa Asafu wakasimama mahali pao, kama alivyoamuru Daudi, na Asafu, na Hemani, na Yeduthuni mwonaji wa mfalme; nao mabawabu walikuwa katika kila lango; hawakuhitaji kuondoka katika huduma yao, kwa kuwa ndugu zao Walawi wakawaandalia.


Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana.


Basi kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja wakateka maji, wakazijaza birika maji, wapate kunywesha kundi la baba yao.


Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.


Yairi, mwana wa Manase, alitwaa nchi yote ya Argobu, hata mpaka wa Wageshuri na Wamaaka; akaziita nchi hizo Hawoth-yairi, kwa jina lake mwenyewe, hata hivi leo, maana, hizo nchi za Bashani.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo