Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 20:20 - Swahili Revised Union Version

Yoabu akajibu, akasema, Isiwe, isiwe kwangu, niumeze wala kuuharibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yoabu akamjibu, “Kamwe maishani mwangu! Sina nia kuangamiza wala kuharibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yoabu akamjibu, “Kamwe maishani mwangu! Sina nia kuangamiza wala kuharibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yoabu akamjibu, “Kamwe maishani mwangu! Sina nia kuangamiza wala kuharibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yoabu akajibu, akasema, Isiwe, isiwe kwangu, niumeze wala kuuharibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 20:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wala Amasa hakuangalia huo upanga uliomo mkononi mwa Yoabu; basi akampiga nao tumboni, akamwaga matumbo yake chini, asimpige mara ya pili; naye akafa. Kisha Yoabu na Abishai, nduguye, wakamfuata Sheba, mwana wa Bikri.


Mimi ni mmoja wa hao wenye amani, walio waaminifu katika Israeli; wewe unataka kuuharibu mji ulio kama mama wa Israeli; mbona unataka kuumeza urithi wa BWANA?


Neno hili silo hivyo; lakini mtu mmoja wa milima ya Efraimu, jina lake, Sheba, mwana wa Bikri, ameinua mkono wake juu ya mfalme, naam, Daudi, basi mtoeni yeye tu, nami nitaondoka katika mji huu. Basi yule mwanamke akamwambia Yoabu, Tazama, kichwa chake utatupiwa juu ya ukuta.


Akasema, Hasha, BWANA, nisifanye hivi; je! Si damu hii ya watu hao waliohatarisha nafsi zao? Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.


Tazama, kufanikiwa kwao hakumo mkononi mwao; Mipango ya waovu na iwe mbali nami.


Naye ndiye aliyezijaza nyumba zao vitu vyema; Lakini mashauri ya waovu na yawe mbali nami.


Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani?