Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 17:7 - Swahili Revised Union Version

Hushai akamwambia Absalomu, Ushauri huu alioutoa Ahithofeli si mwema wakati huu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hushai akamjibu Absalomu, “Ushauri alioutoa Ahithofeli haufai kwa wakati huu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hushai akamwambia Absalomu, Ushauri huu alioutoa Ahithofeli si mwema wakati huu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 17:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


lakini ukirudi mjini, na kumwambia Absalomu, Nitakuwa mtumishi wako, Ee mfalme; kama vile nilivyokuwa mtumishi wa baba yako tokea zamani, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako sasa; ndipo utayavunja mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.


Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu, Ingia wewe kwa masuria wa baba yako, hao aliowaacha ili kutunza nyumba; na Israeli wote watasikia ya kuwa umechukizwa kabisa na baba yako; ndipo itatiwa nguvu mikono yao wote walio pamoja nawe.


Basi Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamwambia, akasema, Ahithofeli amesema hivi; je! Tufanye kama alivyosema? Kama sivyo, sema maneno yako.


Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;