Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 14:10 - Swahili Revised Union Version

Mfalme akasema, Yeyote atakaye kuambia neno, mlete kwangu, naye hatakugusa tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfalme akasema, Yeyote atakaye kuambia neno, mlete kwangu, naye hatakugusa tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 14:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akajibu, Nakusihi, mfalme na amkumbuke BWANA, Mungu wako, ili mlipiza kisasi cha damu asizidi kuharibu, wasije kumharibu mwanangu. Naye akasema, Aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa mwanao.


Ndipo huyo mwanamke wa Tekoa akamwambia mfalme, Na uwe juu yangu, Ee bwana wangu mfalme, na juu ya nyumba ya baba yangu uovu huu; wala kwa mfalme na kwa kiti chake cha enzi pasiwepo hatia.


Ndipo mfalme akamwambia Siba, Tazama, yote yaliyokuwa ni mali ya Mefiboshethi ni yako. Siba akasema, Mimi ninasujudu; na nione kibali machoni pako, Ee bwana wangu, mfalme.