Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 12:29 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akawakusanya watu wote akaenda Raba, akapigana nao, akautwaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akawakusanya watu wote akaenda Raba, akapigana nao, akautwaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 12:29
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa kusanya watu waliobaki, ukauzunguke mji, na kuutwaa; nisije mimi nikautwaa mji, ukaitwe jina langu.


Kisha akamnyang'anya mfalme wao taji toka kichwani pake; na uzani wake ulikuwa talanta ya dhahabu, nalo lilikuwa na vito vya thamani ndani yake; akavikwa Daudi kichwani. Akazitoa nyara za huo mji, nyingi sana.


Ikawa, Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi, mwana wa Nahashi wa Raba, wa wana wa Amoni, na Makiri, mwana wa Amieli wa Lo-debari, na Barzilai, Mgileadi wa Rogelimu,