Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 11:7 - Swahili Revised Union Version

Uria alipomwendea Daudi, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, na habari za watu, na habari za vita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uria alipomwendea Daudi, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, na habari za watu, na habari za vita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 11:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawauliza, Je! Hajambo? Wakasema, Hajambo; tazama, Raheli binti yake anakuja na kondoo.


Akamwambia, Nenda, basi, ukaone kama ndugu zako hawajambo, na kundi nalo li salama, ukaniletee habari. Basi akamtuma kutoka bonde la Hebroni, na akafika Shekemu.


Ndipo Daudi akapeleka habari kwa Yoabu, akisema, Mtume kwangu Uria, Mhiti. Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.


Basi Musa akatoka nje ili amlaki mkwewe, akasujudia na kumbusu; nao wakaulizana habari; kisha wakaingia hemani.


Basi Daudi akaviacha vile vyombo vyake katika mkono wa mlinda vyombo, akalikimbilia jeshi, akafika, akawasalimu ndugu zake.