Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 11:7 - Swahili Revised Union Version

7 Uria alipomwendea Daudi, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, na habari za watu, na habari za vita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Uria alipomwendea Daudi, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, na habari za watu, na habari za vita.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 11:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawauliza, Je! Hajambo? Wakasema, Hajambo; tazama, Raheli binti yake anakuja na kondoo.


Akamwambia, Nenda, basi, ukaone kama ndugu zako hawajambo, na kundi nalo li salama, ukaniletee habari. Basi akamtuma kutoka bonde la Hebroni, na akafika Shekemu.


Ndipo Daudi akapeleka habari kwa Yoabu, akisema, Mtume kwangu Uria, Mhiti. Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.


Basi Musa akatoka nje ili amlaki mkwewe, akasujudia na kumbusu; nao wakaulizana habari; kisha wakaingia hemani.


Basi Daudi akaviacha vile vyombo vyake katika mkono wa mlinda vyombo, akalikimbilia jeshi, akafika, akawasalimu ndugu zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo