Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 1:25 - Swahili Revised Union Version

Jinsi mashujaa walivyoanguka Katikati ya vita! Ee Yonathani, wewe umeuawa Juu ya mahali pako palipoinuka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Jinsi gani mashujaa walivyoanguka! Wamekufa wakiwa katika mapambano. Yonathani analala, akiwa ameuawa milimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Jinsi gani mashujaa walivyoanguka! Wamekufa wakiwa katika mapambano. Yonathani analala, akiwa ameuawa milimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Jinsi gani mashujaa walivyoanguka! Wamekufa wakiwa katika mapambano. “Yonathani analala, akiwa ameuawa milimani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa mahali pako palipoinuka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa mahali pako palipoinuka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jinsi mashujaa walivyoanguka Katikati ya vita! Ee Yonathani, wewe umeuawa Juu ya mahali pako palipoinuka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 1:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walio fahari yako, Ee Israeli Juu ya mahali pako palipoinuka wameuawa; Jinsi mashujaa walivyoanguka!


Enyi binti za Israeli, mlilieni Huyo Sauli, ambaye aliwavika Mavazi mekundu kwa anasa, Akazipamba nguo zenu dhahabu.


Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!


Taji ya kichwa chetu imeanguka; Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.


Zabuloni ndio watu waliohatarisha roho zao hadi kufa; Nao Naftali mahali palipoinuka kondeni.