Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Petro 3:6 - Swahili Revised Union Version

kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Petro 3:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.


Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;