Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:8 - Swahili Revised Union Version

Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu elfu ishirini na tatu kwa siku moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamkasirisha kwa matendo yao; Tauni ikawashambulia.


lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.


Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,


Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie kikwazo mbele ya Waisraeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini.