Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 20:8 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia wazee wote na watu wote, Usisikie, wala usikubali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazee na watu wote wakamwambia, “Usimjali wala usikubali.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazee na watu wote wakamwambia, “Usimjali wala usikubali.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazee na watu wote wakamwambia, “Usimjali wala usikubali.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia wazee wote na watu wote, Usisikie, wala usikubali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 20:8
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme wa Israeli, akawaita wazee wote wa nchi, akasema, Angalieni, nawaomba, mwone, kwamba huyu ataka madhara; maana ametuma kwangu kutaka wake zangu na watoto wangu; na fedha yangu na dhahabu yangu, sikumkatalia.


Kwa hiyo akawaambia wale wajumbe wa Ben-hadadi, Mwambieni bwana wangu mfalme, Kila uliyotuma kumtakia mtumwa wako kwanza, nitafanya, ila neno hili siwezi kulifanya. Basi wajumbe wakaenda zao, wakamrudishia maneno hayo.