Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 13:10 - Swahili Revised Union Version

Basi akaenda zake kwa njia nyingine, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia aliyokuwa ameijia Betheli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia ile ambayo alikuwa ameijia Betheli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akaenda zake kwa njia nyingine, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 13:10
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi nabii mmoja mzee alikuwa akikaa katika Betheli; na wanawe wakamwendea wakamwambia kila neno alilolitenda yule mtu wa Mungu siku ile katika Betheli; na maneno aliyomwambia mfalme, hayo nayo walimwambia baba yao.


maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula chochote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia.