Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 11:10 - Swahili Revised Union Version

akamwamuru katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye hakuyashika aliyoyaamuru BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kumwamuru asiiabudu miungu ya kigeni; Solomoni hakutii amri ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kumwamuru asiiabudu miungu ya kigeni; Solomoni hakutii amri ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kumwamuru asiiabudu miungu ya kigeni; Solomoni hakutii amri ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa alikuwa amemkataza Sulemani kufuata miungu mingine, Sulemani hakutii amri ya Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa alikuwa amemkataza Sulemani kufuata miungu mingine, Sulemani hakutii amri ya bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akamwamuru katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye hakuyashika aliyoyaamuru BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 11:10
3 Marejeleo ya Msalaba