Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 1:6 - Swahili Revised Union Version

Wengine wakiyakosa hayo wamegeukia maneno ya ubatili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wengine wakiyakosa hayo wamegeukia maneno ya ubatili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 1:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisini na tisa, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


Kwa maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.


waliopotoka kutoka kwenye kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha tokea, hata kuipindua imani ya watu kadhaa.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Kwa maana kuna wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, wadanganyaji, na hasa wale wa tohara, ambao yapasa wazibwe vinywa vyao.


Lakini ujiepushe na mabishano ya kipumbavu, nasaba, magomvi, na mabishano ya sheria. Kwa kuwa hayana manufaa, tena hayafai kitu.