Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 8:21 - Swahili Revised Union Version

Samweli akayasikia maneno yote ya watu, akayanena masikioni mwa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Samweli akayasikia maneno yote ya watu, akayanena masikioni mwa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 8:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hezekia akaupokea waraka katika mikono ya wale wajumbe, akausoma; kisha Hezekia akapanda, akaingia katika nyumba ya BWANA, akaukunjua mbele za BWANA.


Ndipo Yeftha akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na hao watu wakamfanya awe kiongozi, tena mkuu, juu yao; naye Yeftha akanena maneno yake yote mbele ya BWANA huko Mispa.


BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti yao, ukawateulie mfalme. Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, Kila mtu aende nyumbani kwake.