Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 8:13 - Swahili Revised Union Version

Na binti zenu atawatwaa kuwa watengenezaji wa marhamu, wapishi na waokaji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Binti zenu atawachukua kuwa watengenezaji marashi, wengine wapishi na wengine waokaji mikate.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Binti zenu atawachukua kuwa watengenezaji marashi, wengine wapishi na wengine waokaji mikate.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Binti zenu atawachukua kuwa watengenezaji marashi, wengine wapishi na wengine waokaji mikate.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na binti zenu atawatwaa kuwa watengenezaji wa marhamu, wapishi na waokaji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 8:13
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atawaweka kwake kuwa wakuu juu ya maelfu, na makamanda juu ya hamsini hamsini; na wengine atawaweka walime shamba lake, na kuvuna mavuno yake, na kufanyiza zana zake za vita, na vyombo vya magari yake.


Atatwaa mashamba yenu, na mashamba yenu ya mizabibu, na ya mizeituni, yale yaliyo mazuri sana, ili awape watumishi wake.