Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 26:4 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akatuma wapelelezi, akapata habari ya hakika ya kwamba Sauli amefika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

alituma wapelelezi, akafahamishwa kwamba ni kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

alituma wapelelezi, akafahamishwa kwamba ni kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

alituma wapelelezi, akafahamishwa kwamba ni kweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akatuma wapelelezi, akapata habari ya hakika ya kwamba Sauli amefika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 26:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kutoka Shitimu kwa siri, ili kupeleleza, akawaambia, Nendeni mkaitazame nchi hii, hasa Yeriko. Wakaenda wakafika nyumbani kwa kahaba mmoja jina lake aliitwa Rahabu, wakalala huko.


Naye Sauli akapiga hema katika kilima cha Hakila, kilichoelekea Yeshimoni, barabarani; lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, akaona ya kwamba Sauli amemfuata mpaka nyikani.


Daudi akainuka, akafika mahali pale alipotua Sauli; Daudi akapaangalia mahali alipolala Sauli, na Abneri, mwana wa Neri, jemadari wa jeshi lake; naye Sauli alikuwa amelala kati ya magari, na hao watu wamepiga hema zao wakimzunguka.