Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 21:3 - Swahili Revised Union Version

Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au chochote ulicho nacho hapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au chochote ulicho nacho hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 21:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakapomshika ndugu yake ndani ya nyumba ya baba yake, akisema, Wewe una nguo, ututawale wewe; na mahali hapa palipobomoka pawe chini ya mkono wako;


Laiti watu hawa wangekuwa chini ya mkono wangu! Hapo basi mimi ningemuondoa huyo Abimeleki. Kisha akamwambia Abimeleki, Haya, ongeza jeshi lako, utokeze.


Daudi akamwambia Ahimeleki, kuhani, Mfalme ameniagiza shughuli, akaniambia, Asijue mtu awaye yote habari ya shughuli hii ninayokutuma, wala ya neno hili ninalokuamuru; nami nimewaagiza vijana waende mahali fulani.


Yule kuhani akamjibu Daudi, akasema, Hapana mikate ya kawaida chini ya mkono wangu, ila mikate mitakatifu; ikiwa wale vijana wamejitenga na wanawake.