Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 21:15 - Swahili Revised Union Version

Je! Mimi nina haja ya watu wenye wazimu, hata mmemleta kiumbe huyu ili aoneshe wazimu wake machoni pangu? Je! Huyu ataingia nyumbani mwangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, nawahitaji wendawazimu zaidi? Kwa nini mnaniletea mwendawazimu aje kunisumbua na vitendo vya wendawazimu? Je, mtu huyu ataingia nyumbani kwangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, nawahitaji wendawazimu zaidi? Kwa nini mnaniletea mwendawazimu aje kunisumbua na vitendo vya wendawazimu? Je, mtu huyu ataingia nyumbani kwangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, nawahitaji wendawazimu zaidi? Kwa nini mnaniletea mwendawazimu aje kunisumbua na vitendo vya wendawazimu? Je, mtu huyu ataingia nyumbani kwangu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, mimi nimepungukiwa na wenda wazimu kiasi kwamba mmeniletea mtu huyo hapa aendelee kufanya hivi mbele yangu? Je, ilikuwa ni lazima mtu huyo aje nyumbani mwangu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, mimi nimepungukiwa na wenda wazimu kiasi kwamba mmeniletea mtu huyo hapa aendelee kufanya hivi mbele yangu? Je, ilikuwa ni lazima mtu huyo aje nyumbani kwangu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mimi nina haja ya watu wenye wazimu, hata mmemleta kiumbe huyu ili aonyeshe wazimu wake machoni pangu? Je! Huyu ataingia nyumbani mwangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 21:15
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakuu wameniudhi bure, Ila moyo wangu unakaa kwa kicho cha maneno yako.


Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mnaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?


Basi Daudi akaondoka huko, akakimbilia pango la Adulamu; na ndugu zake na watu wote wa ukoo wa baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.