Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 20:39 - Swahili Revised Union Version

Lakini yule mtoto hakujua lolote. Yonathani na Daudi ndio walioijua habari yenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yule kijana hakujua chochote juu ya maana ya kitendo hicho. Waliojua ni Yonathani na Daudi tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yule kijana hakujua chochote juu ya maana ya kitendo hicho. Waliojua ni Yonathani na Daudi tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yule kijana hakujua chochote juu ya maana ya kitendo hicho. Waliojua ni Yonathani na Daudi tu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Mvulana hakujua chochote kuhusu hayo yote; Yonathani na Daudi tu ndio waliojua.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

(Mvulana hakujua chochote juu ya hayo yote; Yonathani na Daudi tu ndio waliojua.)

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini yule mtoto hakujua lolote. Yonathani na Daudi ndio walioijua habari yenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 20:39
2 Marejeleo ya Msalaba  

Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.


Naye Yonathani akampa mtoto silaha zake, akamwambia, Nenda, ukazichukue mjini.