Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 19:19 - Swahili Revised Union Version

Naye Sauli akaambiwa, Angalia, yule Daudi yuko katika Nayothi, huko Rama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Habari zikamfikia Sauli kusema: “Daudi yuko Nayothi huko Rama.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Habari zikamfikia Sauli kusema: “Daudi yuko Nayothi huko Rama.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Sauli akaambiwa, Angalia, yule Daudi yuko katika Nayothi, huko Rama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 19:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Hivyo Daudi akakimbia, akajiponya, akamwendea Samweli huko Rama, akamwambia hayo yote Sauli aliyomtenda. Kisha yeye na Samweli wakaenda na kukaa katika Nayothi.


Basi Sauli akatuma wajumbe ili kumkamata Daudi; nao hapo walipowaona jamaa ya manabii wakitabiri, na Samweli amesimama kama mkuu wao, Roho ya Mungu ikawajia wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Basi hao Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kuelekea Yeshimoni?