Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:19 - Swahili Revised Union Version

19 Naye Sauli akaambiwa, Angalia, yule Daudi yuko katika Nayothi, huko Rama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Baadaye Shauli aliambiwa kuwa Daudi alikuwa huko Nayothi katika Rama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Habari zikamfikia Sauli kusema: “Daudi yuko Nayothi huko Rama.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Habari zikamfikia Sauli kusema: “Daudi yuko Nayothi huko Rama.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Naye Sauli akaambiwa, Angalia, yule Daudi yuko katika Nayothi, huko Rama.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Hivyo Daudi akakimbia, akajiponya, akamwendea Samweli huko Rama, akamwambia hayo yote Sauli aliyomtenda. Kisha yeye na Samweli wakaenda na kukaa katika Nayothi.


Basi Sauli akatuma wajumbe ili kumkamata Daudi; nao hapo walipowaona jamaa ya manabii wakitabiri, na Samweli amesimama kama mkuu wao, Roho ya Mungu ikawajia wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Basi hao Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kuelekea Yeshimoni?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo