Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 19:12 - Swahili Revised Union Version

Basi Mikali akamteremsha Daudi dirishani; naye akaenda akakimbia na kuokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akakimbia na kuokoka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akakimbia na kuokoka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Mikali akamteremsha Daudi dirishani; naye akaenda akakimbia na kuokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 19:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wa Absalomu wakamwendea yule mwanamke mle nyumbani; wakasema, Wako wapi Yonathani na Ahimaasi? Yule mwanamke akawaambia, Wamevuka kijito cha maji. Basi walipokwisha kuwatafuta wasiwaone, wakarudi Yerusalemu.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Ndipo akawashusha kwa kamba dirishani, maana nyumba yake ilikuwa katika ukuta wa mji; naye alikaa ukutani.


Basi, wana wa Sauli walikuwa ni hawa, Yonathani, na Ishvi, na Malkishua; na majina ya binti zake wawili yalikuwa haya; jina lake wa kwanza aliitwa Merabu, na jina lake mdogo aliitwa Mikali;