Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi Mikali akamteremsha Daudi dirishani; naye akaenda akakimbia na kuokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akatoka na kutoroka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Basi Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akakimbia na kuokoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Basi Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akakimbia na kuokoka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi Mikali akamteremsha Daudi dirishani; naye akaenda akakimbia na kuokoka.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wa Absalomu wakamwendea yule mwanamke mle nyumbani; wakasema, Wako wapi Yonathani na Ahimaasi? Yule mwanamke akawaambia, Wamevuka kijito cha maji. Basi walipokwisha kuwatafuta wasiwaone, wakarudi Yerusalemu.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Ndipo akawashusha kwa kamba dirishani, maana nyumba yake ilikuwa katika ukuta wa mji; naye alikaa ukutani.


Basi, wana wa Sauli walikuwa ni hawa, Yonathani, na Ishvi, na Malkishua; na majina ya binti zake wawili yalikuwa haya; jina lake wa kwanza aliitwa Merabu, na jina lake mdogo aliitwa Mikali;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo