Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 18:15 - Swahili Revised Union Version

Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 18:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, ila amemwacha Sauli.


Naye Daudi akatenda kwa busara katika njia zake zote naye BWANA alikuwa pamoja naye.


Lakini Israeli wote na Yuda wakampenda Daudi; kwa kuwa aliwaongoza wakienda na kurudi vitani.