Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 18:14 - Swahili Revised Union Version

14 Naye Daudi akatenda kwa busara katika njia zake zote naye BWANA alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Daudi alifanikiwa katika kila kitu alichofanya, kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Daudi alifanikiwa katika kila kitu alichofanya, kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Daudi alifanikiwa katika kila kitu alichofanya, kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Katika kila kitu alichofanya, Daudi alipata mafanikio makubwa, kwa sababu Mwenyezi Mungu alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Katika kila kitu alichofanya, Daudi alipata mafanikio makubwa, kwa sababu bwana alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Naye Daudi akatenda kwa busara katika njia zake zote naye BWANA alikuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 18:14
18 Marejeleo ya Msalaba  

Wala mkuu wa gereza hakufuatilia kazi liliyokuwa mikononi mwa Yusufu; kwa kuwa BWANA alikuwa pamoja naye. BWANA akayafanikisha yote aliyoyafanya.


Naye Daudi akazidi kuwa mkuu; kwa maana BWANA, Mungu wa majeshi, alikuwa pamoja naye.


Naye BWANA akawa pamoja naye, kila alikokwenda alifanikiwa; tena alimwasi mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.


Akaweka ngome katika Edomu; na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Naye BWANA akampa Daudi ushindi, kila alikokwenda.


Ndipo Daudi akaweka ngome katika Shamu ya Dameski; nao Washami wakawa watumwa wa Daudi, wakaleta zawadi. Naye BWANA akampa Daudi kushinda kila alikokwenda.


Naye BWANA alikuwa pamoja na Yehoshafati, kwa kuwa alikwenda katika njia za kwanza za Daudi babaye, asiyatafute Mabaali;


Nitakuwa na mwenendo usio na hatia; Utakuja kwangu lini? Nitakwenda kwa unyofu wa moyo Ndani ya nyumba yangu.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu.


Basi BWANA alikuwa pamoja na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.


BWANA alikuwa pamoja na Yuda; naye akawafukuza watu waliokaa katika nchi yenye milima; asiweze kuwafukuza hao waliokaa katika hilo bonde, kwa kuwa wao walikuwa na magari ya chuma.


Basi, hapo ishara hizi zitakapokutukia, fanya kama uonavyo vema; kwa kuwa Mungu yuko pamoja nawe.


Ndipo mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mtoto mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yuko pamoja naye.


Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.


Baada ya hayo kulikuwa na vita tena; naye Daudi akatoka, naye akapigana na Wafilisti, naye akawaua kwa uuaji mkuu; nao wakakimbia mbele yake.


Samweli akakua, naye BWANA alikuwa pamoja naye, wala hakuliacha neno lake lolote lianguke chini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo