Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 16:10 - Swahili Revised Union Version

Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. Samweli akamwambia Yese, BWANA hakuwachagua hawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yese aliwapitisha wanawe wote saba mbele ya Samueli lakini Samueli akamwambia, “Mwenyezi-Mungu hajamchagua yeyote kati ya hawa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yese aliwapitisha wanawe wote saba mbele ya Samueli lakini Samueli akamwambia, “Mwenyezi-Mungu hajamchagua yeyote kati ya hawa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yese aliwapitisha wanawe wote saba mbele ya Samueli lakini Samueli akamwambia, “Mwenyezi-Mungu hajamchagua yeyote kati ya hawa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yese alikuwa na wana saba aliowapitisha mbele ya Samweli, lakini Samweli akamwambia, “Mwenyezi Mungu hajawachagua hawa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yese alikuwa na wana saba aliowapitisha mbele ya Samweli, lakini Samweli akamwambia, “bwana hajawachagua hawa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. Samweli akamwambia Yese, BWANA hakuwachagua hawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 16:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Samweli akamwambia Yese, Watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, Amesalia mdogo wao, na tazama, anawachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yese, Tuma watu, wamlete; kwa sababu hatutaketi hadi atakapokuja huku.


Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, Wala BWANA hakumchagua huyu.


Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrata, wa Bethlehemu ya Yuda, aliyeitwa jina lake Yese; naye huyo alikuwa na wana wanane; na yeye mwenyewe alikuwa mzee siku za Sauli, na mkongwe miongoni mwa watu.