Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 15:5 - Swahili Revised Union Version

Sauli akaufikia mji wa Amaleki, akauvizia bondeni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sauli akaenda katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sauli akaenda katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauli akaufikia mji wa Amaleki, akauvizia bondeni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 15:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akatwaa watu kama elfu tano, akawaweka kuotea kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa huo mji.


Akawaagiza, akasema, Angalieni, mtaotea kuuvizia ule mji, upande wa nyuma wa mji; msiende mbali sana na mji, lakini kaeni tayari nyote;


Ndipo Sauli akawaita watu, akawahesabu huko Telemu, askari wa miguu elfu mia mbili na watu elfu kumi wa Yuda.


Sauli akawaambia Wakeni, Haya! Nendeni zenu, mkashuke ili kujitenga na Waamaleki, nisije nikawaangamiza ninyi pamoja nao; maana mliwatendea wana wa Israeli mema, walipopanda kutoka Misri. Basi hao Wakeni wakaondoka, wakajitenga na Waamaleki.