Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 15:10 - Swahili Revised Union Version

Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu likamjia Samweli kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana likamjia Samweli kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 15:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha.


Lakini Sauli na watu wake wakamwacha Agagi hai, na katika kondoo walio wazuri, na ng'ombe, na vinono, na wana-kondoo, na chochote kilicho chema, wala hawakukubali kuwaangamiza; bali chochote kilichokuwa kibaya na kisichofaa, ndicho walichoangamiza kabisa.