Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 15:10 - Swahili Revised Union Version

10 Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kisha neno la Mwenyezi Mungu likamjia Samweli kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kisha neno la bwana likamjia Samweli kusema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,

Tazama sura Nakili




1 Samueli 15:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha.


Lakini Sauli na watu wake wakamwacha Agagi hai, na katika kondoo walio wazuri, na ng'ombe, na vinono, na wana-kondoo, na chochote kilicho chema, wala hawakukubali kuwaangamiza; bali chochote kilichokuwa kibaya na kisichofaa, ndicho walichoangamiza kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo