Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 14:46 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Sauli akakwea kuacha kuwafuata Wafilisti; nao Wafilisti wakaenda zao kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Shauli aliacha kuwafuatia Wafilisti, nao Wafilisti wakarudi makwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Shauli aliacha kuwafuatia Wafilisti, nao Wafilisti wakarudi makwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Shauli aliacha kuwafuatia Wafilisti, nao Wafilisti wakarudi makwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Sauli akaacha kuwafuata Wafilisti, nao wakajiondoa na kurudi katika nchi yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Sauli akaacha kuwafuata Wafilisti, nao wakajiondoa na kurudi katika nchi yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Sauli akakwea kuacha kuwafuata Wafilisti; nao Wafilisti wakaenda zao kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 14:46
3 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini watu wakamwambia Sauli, Je! Atakufa Yonathani, ambaye ndiye aliyeufanya huo wokovu mkuu katika Israeli? Hasha! Kama aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa kichwa chake; kwa maana ametenda kazi pamoja na Mungu leo. Hivyo hao watu wakamponya Yonathani, asife.


Basi Sauli alipokwisha kuutwaa ufalme juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote pande zote, juu ya Moabu, na juu ya wana wa Amoni, na juu ya Edomu, na juu ya wafalme wa Soba, na juu ya Wafilisti; na popote alipogeukia, akawashinda.


Wakati huo Wafilisti walikusanya majeshi yao kwa vita, nao wakakusanyika huko Soko, ulio mji wa Yuda, wakatua kati ya Soko na Azeka, katika Efes-damimu.