Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 1:12 - Swahili Revised Union Version

Ikawa, hapo alipoendelea kuomba mbele za BWANA, Eli akamwangalia kinywa chake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hana aliendelea kumwomba Mwenyezi-Mungu kwa muda mrefu, na kuhani Eli akawa anaangalia midomo yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hana aliendelea kumwomba Mwenyezi-Mungu kwa muda mrefu, na kuhani Eli akawa anaangalia midomo yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hana aliendelea kumwomba Mwenyezi-Mungu kwa muda mrefu, na kuhani Eli akawa anaangalia midomo yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa anaendelea kumwomba Mwenyezi Mungu, Eli alichunguza kinywa chake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa anaendelea kumwomba bwana, Eli alichunguza kinywa chake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, hapo alipoendelea kuomba mbele za BWANA, Eli akamwangalia kinywa chake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 1:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;


Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.


Akaweka nadhiri, akasema, Ee BWANA wa majeshi, ikiwa wewe utayaangalia mateso la mjakazi wako, na kunikumbuka, wala usinisahau mimi mjakazi wako, na kunipa mimi mjakazi wako mtoto wa kiume, ndipo mimi nitakapompa BWANA huyo mtoto siku zote za maisha yake, wala wembe hautamfikia kichwani kamwe.


Basi Hana alikuwa akinena moyoni mwake; midomo yake tu ilionekana kama anena, sauti yake isisikiwe; kwa hiyo huyo Eli alimdhania kuwa amelewa.