Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 1:16 - Swahili Revised Union Version

kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 1:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Kwa kuwa mimi ni BWANA, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu; wala msitie uchafu nafsi zenu kwa kitu kitambaacho cha aina yoyote, kiendacho juu ya nchi.


Kwa kuwa mimi ni BWANA niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu.


Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu.


Jitakaseni basi, kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?