Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Petro 1:16 - Swahili Revised Union Version

16 kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Tazama sura Nakili




1 Petro 1:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Kwa kuwa mimi ni BWANA, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu; wala msitie uchafu nafsi zenu kwa kitu kitambaacho cha aina yoyote, kiendacho juu ya nchi.


Kwa kuwa mimi ni BWANA niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu.


Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu.


Jitakaseni basi, kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo