Zekaria 9:16 - Swahili Revised Union Version16 Na BWANA, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo, Kama kundi la watu wake; Kwa maana watakuwa kama vito vya taji, Vikimetameta juu ya nchi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, atawaokoa, maana wao ni kundi lake; nao watang'aa katika nchi yake kama mawe ya thamani katika taji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, atawaokoa, maana wao ni kundi lake; nao watang'aa katika nchi yake kama mawe ya thamani katika taji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, atawaokoa, maana wao ni kundi lake; nao watang'aa katika nchi yake kama mawe ya thamani katika taji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mwenyezi Mungu, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo kama kundi la watu wake. Watang’ara katika nchi yake kama vito vya thamani kwenye taji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 bwana Mwenyezi Mungu wao atawaokoa siku hiyo kama kundi la watu wake. Watang’aa katika nchi yake kama vito vya thamani kwenye taji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Na BWANA, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo, Kama kundi la watu wake; Kwa maana watakuwa kama vito vya taji, Vikimetameta juu ya nchi yake. Tazama sura |