Zekaria 8:7 - Swahili Revised Union Version7 BWANA wa majeshi asema hivi, Tazama, nitawaokoa watu wangu toka nchi ya mashariki, na toka nchi ya magharibi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi ya mashariki na kutoka nchi ya magharibi Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi ya mashariki na kutoka nchi ya magharibi Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi ya mashariki na kutoka nchi ya magharibi Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi za mashariki na magharibi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Hili ndilo asemalo bwana Mwenye Nguvu Zote: “Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi za mashariki na magharibi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 BWANA wa majeshi asema hivi, Tazama, nitawaokoa watu wangu toka nchi ya mashariki, na toka nchi ya magharibi; Tazama sura |