Zekaria 8:11 - Swahili Revised Union Version11 Lakini sasa sitakuwa kwa mabaki ya watu hawa kama nilivyokuwa siku zile za kwanza, asema BWANA wa majeshi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Lakini sasa sitawatendea hao watu wa taifa hili waliosalia kama hapo zamani. Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Lakini sasa sitawatendea hao watu wa taifa hili waliosalia kama hapo zamani. Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Lakini sasa sitawatendea hao watu wa taifa hili waliosalia kama hapo zamani. Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Lakini sasa sitawatendea mabaki ya watu hawa kama nilivyowatenda zamani,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Lakini sasa sitawatendea mabaki ya watu hawa kama nilivyowatenda zamani,” asema bwana Mwenye Nguvu Zote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Lakini sasa sitakuwa kwa mabaki ya watu hawa kama nilivyokuwa siku zile za kwanza, asema BWANA wa majeshi. Tazama sura |