Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 7:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kisha neno la Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kisha neno la bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili




Zekaria 7:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo Bwana, BWANA wa majeshi, atatuma maradhi ya kukondesha kwa wapiganaji walionenepa; na badala ya utukufu wake kutawashwa kuteketea kama kuteketea kwa moto.


na kusema na makuhani wa nyumba ya BWANA wa majeshi, na hao manabii, ya kwamba, Je! Yanipasa kulia katika mwezi wa tano, na kufunga, kama nilivyofanya miaka hii mingi iliyopita?


Waambie watu wote wa nchi, na hao makuhani, ukisema, Hapo mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na mwezi wa saba, katika miaka hiyo sabini, je, Mlifunga kwa ajili yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo