Zekaria 7:1 - Swahili Revised Union Version1 Ikawa katika mwaka wa nne wa mfalme Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani, Kislevu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Mwenyezi Mungu lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ikawa katika mwaka wa nne wa mfalme Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani, Kislevu. Tazama sura |